Facebook Comments Box

Tuesday, December 9, 2014

BREAKING NEWS: KUNA MAPIGANO KATI YA WAKULIMA NA WAFUGAJI DUMILA

Abiria wakishirikiana na polisi kuzima moto uliowashwa barabarani

Polisi wa kutuliza ghasia wakielekea kwenye tukio
Yametokea mapigano kati ya wakulima na wafugaji dumila mkoani morogoro. Magari yamesimama hayaendi morogoro na wala ya morogoro hayaendi dodoma.

Polisi wa kutuliza ghasia (FFU)  wameelekea huko kutuliza ghasia hizo.

kwenye moshi ndio eneo la mapigano

Foleni ya magari iliyosababishwa na mapigano hayo

 



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU