Facebook Comments Box

Tuesday, June 10, 2014

KIJANA AJIUA KWA RISASI ARUSHA

Kijana maarufu kwa utajiri na anaejulikana kama pesa chafu mkoani Arusha amejiua kwa kujipiga risasi ya kichwa. Polisi wanafanya uchunguzi kujua chanzo cha yeye kujiua.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU