Facebook Comments Box

Wednesday, December 31, 2014

TAHADHARI KWA PICHA: MTU MMOJA AMEKUFA NA KUNING'INIA GETINI HEBU JIONEE MWENYEWE

 Mtu huyo anaitwa Abdul Koroma ni raia wa Siera Leone akiwa amening'inia getini akiwa amekufa, kwa kile inachosemekana kuwa ni mtuhumiwa wa dawa za kulevya na alikuwa anatoroka mahakamani kabla ya kupigwa risasi na kufa juu ya geti ambapo alitaka aruke na kukimbia.
 Hapa askari Magereza wakijaribu kumuondoa mahali alipokuwa amenasa juu ya geti la mahakama ya kisutu
 Mtu huyo hapa baada ya kushushwa chini toka juu ya geti.



Picha na Camera yetu mtaani:

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU