Facebook Comments Box

Tuesday, December 16, 2014

KOCHA WA YANGA PRUIJM ATUA DAR

Van Der Pruijm alipotua usiku wa saa nane na nusu
Kocha wa zamani wa Yanga mdachi Hans Van Der Pruijm amesema amerudi tena kwenye timu yake ya zamani kuendeleza pale alipoishia,

‘Falsafa yangu ipo pale pale ya kucheza soka la kushambulia, kwasababu naamini ili ushinde mchezo ni lazima ufunge mabao ya kutosha’.

akiwasili jijini Dar
Kocha huyo amesema bado hajasaini mkataba ila ana matumaini makubwa atamalizana na wakurugenzi wa klabu pale watakapokutana, Van Pruijm anakuja kuziba pengo la kocha aliye timuliwa Mbrazil Marcio Maximo .

 Ahsante: Shaffih Dauda


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU