Facebook Comments Box

Friday, December 19, 2014

HII NDIO HABARI MPYA KUTOKA YANGA

Mwenyekiti wa Yanga amefanya mabadiliko katika Safu za uongozi wa klabu hiyo huku akiweka vijana ili waweze kuitumikia klabu kwa muda mrefu. Mmoja wa vijana aliepata bahati hiyo ni Jerry Muro ambae amekuwa msemaji wa timu. Katibu Mkuu atakuwa Dr Jonas B Tiboroha.

Pamoja na hayo mwenyekiti Manji amelibadilisha benchi la ufundi kwa kumuondoa kocha Maximo na kumleta Kocha mpya mdachi Bw Hans van Pluijm akiwa anasaidiwa na mzawa Bw CharlesMkwasa.  




Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU