Facebook Comments Box

Sunday, November 9, 2014

SHEREHE ZA JANDO BUTIAMA



Wanamwita "Dokta" wa kijiji cha Ryamisanga wilayani Butiama akiendelea na shughuli yake ya kumtahiri kijana kwa dakika 17 bila ganzi.



Baadhi ya vijana ambao wameshatahiriwa wakimtizama mwenzao ambaye anafanyiwa tohara



"Dokta" akijiandaa kuifanya kazi yake




Mashuhuda







Baadaye ni vinywaji



Msosi kama huu pia ulikuwepo



Picha, maelezo na Shomi Binda: HIVI NDIVYO TOHARA ZA KABILA LA KIKURYA ZINAVYOFANYIKA

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU