Facebook Comments Box

Sunday, October 26, 2014

PICHA: MAADHIMISHO YA GROUP LA KANDADA: TEAM ISMAIL YAFUNGWA NA TEAM DIZO MOJA

Katika maadhimisho ya Group la kandanda la Facebook kutimiza miaka minne. Ilifanyika mechi kati ya Team Ismail na Timu Dizo moja. Team Dizo iliibuka na ushindi wa magoli manne kwa moja. Team zote zilionesha soka safi na la kupendeza.

chini ni picha za bonanza hilo.

mtanange ukiendelea

Kipindi cha Pili Nassoro Binslum akiwa tayari kuanza kazi


wakati wa zawadi







wakishangilia ushindi wa taem Dizzo one





keki na kombe

mameneja wa timu mbili wakipongezana


mfungaji wa mabao matatu "hat trick" akipewa zawadi ya mpira

keki ikikatwa


Patrick Dumulinyi muanzilishi wa group la kandanda akilishwa keki



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU