Facebook Comments Box

Friday, October 31, 2014

BAADA YA LORI KUFELI BREAK USO KWA USO NA SIMBA MTOTO WAMI


Basi la Simba mtoto linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Tanga limegongana uso kwa uso na Lori la mizigo katikati ya Daraja la Mto Wami mkoani Pwani, Dereva wa lori hilo amefariki papo hapo na wengine kujeruhiwa.

Kitongoni blog inaendelea kutafuta taarifa zaidi za tukio hilo.

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU