Facebook Comments Box

Monday, September 15, 2014

MKOSAMALI AFARIKI DUNIA BAADA YA AJALI YA GARI KUELEKEA KIGOMA


Kwa habari ambazo zimenifikia ni kwamba waziri wa Fedha wa SOSJUT Mkosamali Essau amefariki dunia leo katika hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa baada ya kupata ajali ya gari wakiwa njiani kuelekea Kigoma. 

Katika ajali hiyo walikuwemo pia Mbunge Moses Machali, Felix Mkosamali kaka wa Marehemu ila aliyeumia sana ni ndg Essau Mkosamali aliyekuwa Mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo kikuu cha Mt John Dodoma.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU