Facebook Comments Box

Monday, September 8, 2014

AJALI NYINGINE MBAYA KISARAWE YAMUUA POLISI

Kuna ajali nyingine imetokea Kisarawe Mkoani Pwani na kumuua Polisi. Kwenye kitambulisho chake imeonesha ni polisi wa kituo cha Trafiki may fair plaza. Ajali hiyo imetokea baada ya gari kumshinda na kupinduka. Picha chini ni za ajali hiyo.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU