| Kikosi cha Yanga kilichokwaana na Simba na kuibuka na ushindi wa 3-2. | 
| Kikosi cha Simba kilichopigwa 3-2 na Yanga. | 
Wafungaji Simba: Maji Marefu na Yusuf Gogo.
Yanga: Idrissa Kitwana, Ahmed Ngwali na Mark Tanda.
| Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akishangilia na shabiki wake baada ya ushindi wa Yanga. | 
| Mwigulu Nchemba akiwarushia skafu yake mashabiki wa Yanga. | 
| Ridhiwan Kikwete akishangilia ushindi wa Yanga dhidi ya Simba. | 
| Mbunge wa Jimbo la Chalinze ambaye ni shabiki wa Yanga, Ridhiwan Kikwete akivua jezi yake kwa ajili ya mashabiki mara baada ya ushindi wa timu yake wa mabao 3-2 dhidi ya Simba leo. | 
| Hekaheka wakati wa mtanange huo. | 
| Mashabiki wakifuatilia mtanange huo. | 
| Timu zikiingia uwanjani. | 
| Ridhiwan akiwapa hi mashabiki. | 
| Waamuzi wakiingia uwanjani. | 
| Mwamuzi Othman Kazi akiongea na manahodha wa Yanga na Simba (Wabunge). | 
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog