Facebook Comments Box

Saturday, August 23, 2014

SAMAHANI KWA PICHA: WEZI WACHOMWA TABATA LIWITI

Chini ni picha ya mmoja ya wezi ambao hufanya wizi kwa kutumia pikipiki. Inasemekana vijana hao wawili walikuwa kwenye pikipiki maarufu kama bodaboda walimnyang'anya mkoba binti mmoja leo alfajiri.
Watu walijitokeza na kuwakamata baada ya hapo waliwakata mikono na kuwachoma moto.
 Polisi walifika eneo la tukio na kuchukua miili ya watu hao.
 Tumeweka picha chache  kwa tahadhari nyingine zipo katika hali mbaya kiasi ambacho hatuwezi kuziweka hapa.

Miili ya wezi hao ikiteketea kwa moto
Polisi wakiwa wamefika kuchukua miili



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU