Facebook Comments Box

Tuesday, July 22, 2014

VIDEO NA PICHA:MABAKI YA MIILI YA BINAADAMU ZAIDI YA 20 YAKAMATWA BUNJU

Hii ndio gari iliyokutwa na mabaki ya miili ya binaadamu ambayo hutumika na wanafunzi wa udaktari kwa mafunzo "cadaver". Miili hiyo ilikuwa inaenda kutupwa kwenye jalala la kawaida.
Haya ndio mabaki ya viungo hivyo
Ki kawaida mabaki ya miili ya binaadamu ambayo hutumiwa na wanafunzi wa udaktari kwa ajili ya upasuaji huchomwa na moto na kuisha yote. ila haya yalikuwa yanatumiwa na wanafunzi  wa udaktari wa IMTU yalipelekwa muhimbili kwa ajili ya kuchomwa ila inasemekana hawakuwa na hela ndio maana muhimbili wakashindwa kuchoma na mwenye gari akaamua kwenda kutupa kwenye jalala la

Hili tatizo linaletwa na serikali kukubali kuzipa ruhusa taasisi na vyuo ambavyo havijajitosheleza. Chuo hakina hospital yake ambayo inaweza kutumika kuwafundishia wanafunzi wake ila unakuta kimepewa ruhusa na kinafanya kazi.

Ushauri wetu serikali ikague upya vyuo vyote vya udaktari ambavyo havina sifa na havijitoshelezi wavifunge.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU