Facebook Comments Box

Friday, July 18, 2014

LINAH AAGWA RASMI THT AKIELEKEA NFZ

Mkurugenzi wa Tanzania House Of Talent (THT) Ruge Mutahaba akifafanua jambo mbele ya wageni waalikwa mbalimbali wakiwemo wanahabari,wadau na wasanii wa filamu na muziki,katika hafla ya kumuaga msanii Linah Julai 16, 2014 kutoka kwao na kuelekea kampuni ya No Fake Zone (NFZ) ambao ndiyo
wanaanza kumsimamia msanii huyo pamoja na kazi zake.


Baadhi ya wasanii walipewa tuzo mbalimbali katika sherehe hizo ambao ni Mwasiti, Dito,Linah na Mtayarishaji kutoka katika nyumba hiyo ya sanaa Imma Ze Boy ambao wote hao walipata vyeti.

 Msanii Dito
 Imma Ze Boy
 Linnah
 Mwasity

Linah pia alizindua video yake mpya chini ya kampuni NFZ iitwayo OLe Themba.

Waalikwa wakiifuatilia video ya wimbo huo Ole Themba kwa karibu kabisa kama wanavyooekana pichani.


MKurugenzi wa Kampuni ya NO FAKE ZONE (NFZ), Abby akizungumza jambo mbele ya wageni waalikwa mbalimbali.

 Ommy Dimpoz
 Mwana FA
 Steve Nyerere, Kalala Junior na Christian Bella wakiwa na furaha.
Recho


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU