Facebook Comments Box

Saturday, June 14, 2014

UHOLANZI WAIPA UISPANIA KIPIGO CHA MBWA MWIZI.

Van persie akishangilia kwa kugonganisha mikono na kocha wake
Magoli mawili  yaliyofungwa na Van persie na mawili yaliyofungwa na roben na moja la vrij yaliyosha kabisa kuisambaratisha uhispania japo wao ndio walikuwa wakwanza kupata goli kwa njia ya penati.
Timu ya uhispania ndio ilitabiriwa na wengi kuonesha mpira mzuri na kuchukua kombe ila kwa jana wengi wanasema huu ndio mwisho wa utawala wake kisoka na wanaipa nafasi kubwa uholanzi.
 
Van persie akifunga goli kwa kichwa cha kuchumpa watu wanakifananisha na ndege kubwa za mizigo na watu ikiwa inaruka



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU