Facebook Comments Box

Saturday, June 14, 2014

NYUMBA YA BALOZI WA MSUMBIJI TANZANIA YAUNGUA

Habari zilizotufikia ni kwamba nyumba ya balozi wa Msumbiji iliyoko maeneno ya Masaki imewaka moto. Habari zinaendelea kutupasha kwamba fire walifika lakini maji yalikuwa kidogo.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU