Facebook Comments Box

Tuesday, October 29, 2013

MTOTO WA DARASA LA SITA APOOZA MIGUU MARA BAADA YA KUCHAPWA FIMBO NA MWALIMU WAKE

Mtoto Ismail
Godfrey akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar.
MWANAFUNZI wa darasa la sita, Ismail Godfrey (13)
anayesoma katika Shule ya Msingi Maendeleo Sinuka iliyopo
mkoani Kigoma amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya
kudai kutandikwa viboko na Mwalimu Muige Joseph na
kupooza miguu.
Mtoto huyo ambaye kwa sasa anapata matibabu katika
Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar baada ya kukosa
matibabu ya kina mkoani Kigoma alipokutana na mwandishi
wetu alikuwa na haya ya kusema:
“Awali sikuwa na matatizo yoyote ya kiafya hususan katika
viungo vya mwili, isipokuwa haya yalinipata baada ya
kuchapwa fimbo na mwalimu wangu ndipo nikapooza ghafla.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU