Facebook Comments Box

Wednesday, December 25, 2013

MKURUGENZI WA KCMC AACHIA NGAZI

Mkurugenzi wa Hospitali ya KCMC ameachia ngazi. Hii imefuatia uamuzi wake alio utoa kwenye kikao cha bodi ya wakurugenzi wa msamaria mwema.
Dk Ntabaye ameomba bodi ya wakurugenzi wa msamaria mwema wasimuongeze mkataba mwingine tena.
Inasemekana mkurugenzi huyo ameacha manung'uniko na malalamiko mengi hospitali hapo pamoja na kushusha ari ya kazi kwa wafanyakazi wa hospitali hiyo.
Nafasi ya ukurugenzi kwa sasa imekaimiwa na Pro ulomi.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU