Facebook Comments Box

Saturday, December 21, 2013

HEBU JIONEE JINSI WANAOBEBA MADAWA YA KULEVYA WANAVYO PASULIWA ILI KUYATOA

Dawa za Kulevya hazifai hakuna asiyefahamu jambo hili lakini unakuta baadhi ya watu wanayaweka maisha yao rehani na kukubali kuwa 'Punda' na kubeba mizigo hii haifai waache mara moja wote wenye tabia hii ni hatari kwa maisha yao.



Picha ya X-ray inavyoonesha tumboni madawa yaliovyo kwa mtu aliyebeba.

Athari inayoweza kupatikana yakiwa mwilini kama unavyoweza kujionea hapo juu.


Operesheni ikifanyika tayari kuyaondoa madawa hayo yaliyo sababisha kijana huyu kufariki.


Utumbo umetolewa tayari ili kuanza kuyatoa madawa hayo.


Kama uonavyo weza kujionea dawa hizo zikiwa ndani ya utumbo mpana.
Dawa zikianza kutolewa pamoja na kushafishwa kama unavyoona katika picha.




Kabla mtu hajazimeza zinakuwa hivi, sasa hebu fikiria mtu anameza kete hadi 5000 hii ni balaa kubwa sana.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU