Facebook Comments Box

Sunday, October 6, 2013

YANGA YASOGEA KILELENI SASA BAADA YA KUITUNGUA MTIBWA SUGAR

IMEWEKWA OKTOBA 6, 2013 SAA 2:38 USIKU

Mshambuliaji wa Yanga SC, Mrisho Ngassa (wa pili kushoto) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kufunga bao la kwanza katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam jioni ya leo, 

Mshambuliaji wa Yanga SC, Didier Kavumbangu akimtoka beki wa Mtibwa Sugar, Salim Abdallah

Kavumbangu akitafuta maarifa ya kumtoka Salim Abdallah

Mrisho Ngassa alimpiga kanzu kipa wa Mtibwa, Hussein Sharrif 'Cassilas' lakini akapigiwa filimbi ya kuotea

Beki wa Mtibwa, Hassan Ramadhani akimdhibiti Mrisho Ngassa wa Yanga

Beki wa Yanga, David Luhende akiwatoka wachezaji wa Mtibwa, Ally Shomary na Salim Abdallah

Salim Abdallah wa Mtibwa akijiandaa kuondosha mpira kwenye hatari mbele ta Kavumbangu 

Beki wa Mtibwa Sugar, Dickson Daud akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga SC, Didier Kavumbangu  

Kiungo wa Yanga SC, Nizar Khalfan akimtoka beki wa Mtibwa, Paul Ngalema

Kiungo mkongwe wa Mtibwa, Shaaban Nditi akipasua katikati ya wachezaji wa Yanga SC, Mbuyu Twite kulia na Didier Kavumbangu kushoto

Hata hivyo, Twite alimuangusha Nditi...

Shaaban Nditi akiwatoka Said Bahanuzi na Kavumbangu wa Yanga

Kikosi cha Yanga SC leo

Kikosi cha Mtibwa leo

Didier Kavumbangu akishangilia baada ya kufunga bao la pili 

Mpiga picha wa Azam TV, akirekodi kwa ajili ya matangazo ya Live ambayo kwa sasa yanarushwa kupitia TBC 

Kiungo wa Yanga SC, Athumani Iddi 'Chuji' akiwaongoza wenzake kuingia uwanjani tayari kwa mechi 

Pamoja na kuwa na maumivu ya jicho, kipa Deo Munishi 'Dida' alianzia benchi leo                 CHANZO BIN ZUBEIRY   


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU