Facebook Comments Box

Friday, October 11, 2013

PICHA: AJALI MBAYA KABUKU TANGA

Lori la Mizigo likiwa limeacha njia jana, baada ya kugongana na basi katika eneo la Kabuku mkoani Tanga na kuyahusisha magari matatu katika ajali hiyo. (Picha na Francis Dande) 

Askari wa usalama barabarani wakiwa katika eneo la tukio.
 

Baadhi ya watu wakishuhudia ajali iliyoya kutanisha malori mawili pamoja na basi la abiria lenye namba za usajili T 158 BXG, iliyotokea jana katika eneo la Kabuku, mkoani Tanga




Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU