Facebook Comments Box

Friday, October 25, 2013

DKT GHARIB BILAL AWASILI MKOANI KIGOMA KWA AJILI YA UZINDUZI WA KIVUKO CHA MV MALAGALASI


Makamu wa Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Kigoma


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifurahia burudani ya ngoma za asili kutoka kwa wakazi wa Mkoa wa Kigoma, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kigoma, kwa ajili ya kuzindua Kivuko kipya cha Mv Malagalasi siku ya Ijumaa tarehe 25/10/2013  Wilayani Uvinza.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU