Facebook Comments Box

Monday, August 26, 2013

HII NDIO TAREHE AMBAYO RADIO IMAAN ITARUDI HEWANI

Tv Imaan ikiwa kazini wakati wa sala ya Idd wakimuhoji Mwenyekiti wa Islamic Foundation Br Arif Nahdi

Mtaalam wa Mitambo wa Radio Imaan na Tv Imaan Muhammad Maembe akimuelekeza Mwenyekiti wa Islamic Foundation Br Arif Nahadi mitambo inavyofanya kazi katika jengo jipya la makao makuu ya Radio na Tv Imaan

Mwenyekiti wa Radio Imaan Br Arif Nahdi akikagua jengo jipya la Tv Imaan na Radio Imaan

Mwenyekiti wa Islamic Foundation Br Arif Nahdi akihojiwa na Radio MuM juu ya ujio wa Radio Imaan



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU