Facebook Comments Box

Friday, July 26, 2013

WACHEZAJI WA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA "TAIFA STARS" WAKIWASILI JIJINI KAMPALA LEO KWA MECHI YA KESHO


John Bocco akiwasili katika Hotel waliyofikia jijini Kampala

Wachezaji wa Timu Ya Taifa (Taifa Stars) wakiwsili katika hoteli ya Mt. Zion ambapo wamefikia huku wakijiandaa na mechi ya Jumamosi dhidi ya Uganda Cranes kuwania kufuzu mashindano ya CHAN.

Stars leo wamepumzika na kesho watafanya Mazoezi katika Uwanja wa Mandela uliopo Nambole ambapo mechi ya Jumamosi itapigwa.
Erasto Nyoni


Mrisho Ngassa

Nahodha Juma Kaseja

Kevin Yondani

Aggrey Morris


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU