Facebook Comments Box

Thursday, June 20, 2013

MBOWE NA LEMA WAJISALIMISHA POLISI LEO ASUBUHI



Kwa Taarifa zilizo tufikia zinasema kwamba Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha Chadema Freeman Mbowe na mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema wamejisalimisha wenyewe leo asubuhi  katika kituo Kikuu cha Polisi Mkoani Arusha kwa ajili ya kuhojiwa.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU