Facebook Comments Box

Saturday, June 1, 2013

KAMA UNAMKUMBUKA KIBAKULI SASA HIVI YUPO HIVI

DSC00429Unamkubuka jamaa anaitwa Sadiki Mberwa maarufu kama Kibakuli, alikuwa staa kwenye maigizo ya Kaole kama mtoto mnoko wa Muhogo mchungu ambaye anajua kama baba yake ana nyumba nje lakini hamwambii mama yake mzazi. Mwisho wa siku na yeye anakuja kumtaka kimapenzi mama yake mdogo.

Kikubwa kilichokuwa kinamtamburisha Kibakuli ulikuwa ubonge wake, tofauti na sasa amekuwa mwembamba na amekuwa mtu mzima. Kibakuli alianza kuigiza kwenye miaka ya 1999 yupo darasa la sita wakati akiwa na Nyamayao ambaye alikuwa anaigiza kama dada yake. Hivi sasa Kibakuli ni soundman wa Landline Production na soon atarudi tena mbele ya camera. 
k
Kibakuli


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU