Facebook Comments Box

Saturday, June 15, 2013

HUYU NDIO RAIS MPYA WA IRAN

Picture
Hassan Rouhani, Rais Mpya wa Iran
Kiongozi mwenye msimamo wa kati kutoka kwenye chama cha Wahafidhina nchini Iran, Hassan Rouhani, ametangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais nchini humo.

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran imesema, Rouhani ameshinda za zaidi ya kura millioni kumi na nane, ambayo ni zaidi ya asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa.

Wizara hiyo imesema kuwa, idadi kubwa ya raia wa nchi hiyo walijitokeza kupiga kura kiwango ambacho kinakadiriwa kuwa asilimia sabini na tatu ya watu waliosajiliwa.

Mayor wa mji wa Tehran, Mohamad Baqar Qalibaf, alimaliza katika nafasi ya pili


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU