Facebook Comments Box

Tuesday, June 4, 2013

HILI NDIO GARI LITAKALOBEBA MWILI WA ALBERT MANGWEA


 Leaders club maandalizi ya mwisho kabisa kwa ajili ya kwenda airport kuupokea mwili wa marehemu mangwea ambao utaingia leo saa 7 na ndege ya kisha kupelekwa moja kwa moja katika hospital ya taifa ya muhimbili kwa ajili ya kuifadhiwa mpaka kesho saa 2 maiti itafika katika viwanja vya leaders club na saa 4 shughuli za kuaga mwili wamarehemu zitafanyika mpaka saa 7 ndio mwili utasafirishwa kwenda morogoro na utalala kwenye nyumba yao na kesho yake siku ya alhamis ndio marehemu albert mangwea utaagwa tena na kuzikwa huko huko morogoro na hii ndio safari ya mwisho ya msanii albert mangwea




MANGWEA TUTAKUKUMBUKA.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU