Huko
 mjini Iringa, daladala za Manispaa hiyo zimegoma kufanya biashara leo 
kutokana na  kile  wamiliki na madereva  wanachodai ni kuchoshwa na 
manyanyaso ya Afisa mpya wa SUMATRA wa mkoa wa Iringa.
Francis Godwin katika blog yake anasema kiini cha mgomo huo ni kinatokana na kuchukizwa na uamuzi wa SUMATRA mkoa wa Iringa kufuta stendi ya Posta pamoja na kuzuia daladala kukaa kwa muda katika eneo la stendi ya daladala ya Miyomboni maeneo ambayo walikuwa wakikaa siku zote, hivyo, madereva hao wamesema hawatafanya kazi hadi hapo SUMATRA Iringa itakapofuta maagizo yake hayo.
Francis Godwin katika blog yake anasema kiini cha mgomo huo ni kinatokana na kuchukizwa na uamuzi wa SUMATRA mkoa wa Iringa kufuta stendi ya Posta pamoja na kuzuia daladala kukaa kwa muda katika eneo la stendi ya daladala ya Miyomboni maeneo ambayo walikuwa wakikaa siku zote, hivyo, madereva hao wamesema hawatafanya kazi hadi hapo SUMATRA Iringa itakapofuta maagizo yake hayo.
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog