Facebook Comments Box

Saturday, May 25, 2013

JOSE MORINHO AKUBALI MKATABA WA MIAKA MINNE CHELSEA

Mitando mbalimbali maarufu ya Uingereza imeripoti kuwa Kocha JOSE MOURINHO atakwenda uingereza tarehe 2 mwezi wa 6 kwa ajili ya kutia saini mkataba wa miaka minne ambao utakuwa na thamani ya Paundi 250,000 kwa wiki.

Tajiri wa Chelsea amemuhakikishia kuwa hizo fedha zinazokaribia paundi milioni 50 zipo kwa ajili ya mkataba huo. Hilo litamfanya haraka baada ya mechi ya Real Madrid na Osasunaambayo ndio mechi ya mwisho kwa Real Madrid msimu huu kutompotezea muda kocha huyo maana baada ya mechi hiyo atapanda ndege na kwenda uingereza kwa ajili ya mkataba huo. Katika safari hiyo ataongozana na kocha wa viungo Rui Faria na kocha wa magolikipa Salvino Louro.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU