Facebook Comments Box

Thursday, May 30, 2013

HUYU NDIO KOCHA MPYA WA CHELSEA

Jose Mourinho Ametangazwa Kama Kocha mpya wa Chelsea chini ya mkataba wa miaka 4 wenye thamani ya Pauni milioni 40. Jose alikuwa Uingereza kwa siku mbili na ndani ya siku hizi ndio jana walikubaliana na uongozi wa club ya chelsea kutia wino kwenye mkataba huo. Awali Jose alisema anakuja Uingereza kwenye mchezo wa Crystal Palace na Watford Uliofanyika Wembley Jumatatu Iliyopita Lakini ukweli ni kwamba alikuwa anakuja kwa ajili ya mkataba wake na Chelsea, Jose ameongelea kwa muda wa miezi minne sasa kuwa anakuja chelsea baada ya msimu kuisha so kama ulikuwa unasubiria sasa its official.
Jose mwenye miaka 50 atatangazwa rasmi wiki ijayo na washindi wa kombe la Europa ambao ni Chelesea. Game ya kwanza ya Mourinho itakuwa mchezo wa Kirafiki na club ya Thailand Singha All Stars XI, Baada ya hapo ana Game Malaysia na Indonesia.
 


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU