Facebook Comments Box

Monday, April 8, 2013

OFISI YA TAALUMA YA SHULE YA IFUNDA SEKONDARI YACHOMWA MOTO

Picture
Tarehe tano mwezi jana gazeti la Majira liliripoti kuhusu vurugu zilizozuka katika shule ya sekondari ya Ifunda, ambapo Mwalimu Mkuu alinusurika kuuawa hali mlinzi wa shule akipigwa.

Juzi, usiku wa kuamkia Jumapili, watu ambao bado hawajafahamika wameitia moto ofisi ya taaluma ya shule hiyo na kusababisha nyaraka zilizokuwa zimehifadhiwa humo kuungua na kuteketea.
Picture


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU