Facebook Comments Box

Tuesday, April 23, 2013

HII SIMU INACHAJIWA KWA SODA NA INAKAA MUDA MREFU KULIKO SIMU YA KAWAIDA

http://millardayo.com/wp-content/uploads/2013/04/Simu-inayotumia-soda-aina-ya-cocacola-april-23-2013-4.jpg
SIMU INAYO CHAJIWA NA SODA


.


.
Wanasema hii dunia kilichoshindikana ni kumtengeneza binadamu peke yake, kuna vitu vingine ni ngumu kuamini lakini ni ukweli vimetokea, hiyo ni simu ambayo chaji yake inatokana na soda ya Cocacola au Pepsi ambapo Mbunifu wake ni binti wa Kichina anaitwa Daizi Zheng na betri ya simu hii imegundulika kudumu na chaji mara nne zaidi ya betri ya simu ya kawaida ilivyo.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU