Facebook Comments Box

Tuesday, March 19, 2013

LWAKATARE ASOMEWA MASHITAKA MANNE YA UGAIDI NA KUNYIMWA DHAMANA


Wakili wa Lwakatare, Tundu Lisu (kulia) akimuelekeza jambo Mbuge wa Arusha Mjini, Godbless Lema wakati wakijaribu kuandaa mipango ya dhamana.
 Lwakatare akionesha alama ya vidole viwili wakati akipelekwa kizimbani.
 
Wakili Peter Kibatara akiweka mambo sawa kabla ya kuanza kumtetea Lwakatare.



Wanachama na mashabiki wa Chadema wakionesha alama ya vidole viwili kabla ya kesi kuanza.
 
Wakili Nyaronyo Kicheere akimuelekeza jambo Godbless Lema baada ya kesi kuahirishwa, kulia ni Tundu Lisu.

Wanachama wa Chadema wakiwa wametawanyika nje ya mahakama baada ya kesi kumalizika.
  Lwakatare akipelekwa rumande baada ya kunyimwa dhamana.
 
Mke wa Lwakatare akitahayari baada ya mumewe kunyimwa dhamana.



Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema Wilfred Lwakatale akiwasalimia wafuasi wa chama hicho kwa ishara ya vidole viwili baada ya kuwasili katika chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.Picha zote na Jackson Odoyo




Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama Chadema Wilfred Lwakatale akiwa chini ya ulinzi mkali wa Askari Polisi baada ya kutinga katika Mahakama ya Hakim Mkazi Kisutu
SOURCE:DJ-SEK


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU