Facebook Comments Box

Sunday, February 3, 2013

MAADHIMISHO YA MIAKA 36 YA CCM KIGOMA LEO

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM},Rais Jakaya Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete leo wameongoza Matembezi ya Mshikamano yaliyoanzia kwenye eneo la Mnarani na kuishia kwenye ofisi za CCM mkoani Kigoma,asubuhi ya leo. Matembezi hayo yamehudhuliwa na viongozi mbali mbali wa Chama cha Mapinduzi.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi,Rais Jakaya Kikwete {wa pili kushoto}na mkewe Mama Salma Kikwete wakiongoza matembezi ya mshikamano ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Miaka 36 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi {CCM} yanayofanyika leo kwenye uwanja wa Lake Tanganyika,Mkoani Kigoma.Matembezi hayo hayo yamehudhuliwa na viongozi mbali mbali wa Chama cha Mapinduzi na Serikali kwa ujumla.
























Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU