Facebook Comments Box

Tuesday, January 1, 2013

MH LOWASSA AFANYA KALI YA MWAKA MPYA: USHAHIDI WA PICHA HUU HAPA

Waziri mkuu msataafu Mh Edward Ngoyai Lowassa amefanya sherehe kubwa sana ili kuukaribisha mwaka mpya na kuuaga mwaka 2012. Akiwa kama leigwanani amewaalika watu mbalimbali katika sherehe hiyo.

Wananchi wa monduli wakienda kwa Mheshimiwa kusheherekea mwaka mpya

Hapa pilau likiandaliwa

Magari ya wageni mbali mbali wa sherehe hiyo. Ulinzi ukiwa umezingatiwa

Vijana kutoka pande mbalimbali za Tanzania walishiriki katika sherehe hiyo


Ulinzi ni wa kutosha kabisa

Wageni waalikwa wakiwa kwa kiongozi wao mpendwa Leigwanan Lowassa
Chifu Chege nae alialikwa

Laigwanan akisalimiana na kijana Kimeta wa Mpui wakati akifika kwenye sherehe



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU