Facebook Comments Box

Wednesday, January 2, 2013

BREAKING NEWS: SAJUKI AFARIKI DUNIA

Msanii wa filamu nchini Juma Kilowoko maarufu kwa jina la Sajuki amefariki dunia leo alfajiri katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Kwa mujibu waa katibu wa chama cha waongoza filamu wilaya ya ilala Juma Amir Sajuki alikuwa akisumbuliwa na upungufu wa damu.
Sajuki alipata maradhi ambayo yalisababisha aende kutibiwa India. Hivi karibuni akiwa jukwaani Arusha Sajuki alizidiwa na kushindwa kusalimia washabiki wake.
Hivi sasa ilikuwa ikifanyika mipango apelekwe India tena na milioni 28 zilikuwa zikitafutwa kwa safari hiyo.
Inna Lillah wa inna illah rajiuun.

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU