Facebook Comments Box

Tuesday, January 29, 2013

MAFURIKO YALETA BALAA MORO JIONI YA LEO


 Mvua kubwa iliyonyesha morogoro jioni ya leo imesababisha mafuriko katika mtaa wa morogoro.Mvua hiyo iliyoanza kunyesha kuanzia saa tisa alasiri imenyesha takribani kwa masaaa mawili imesababisha mafuriko katika barabara ya msamvu kuingia katikati ya mji hali iliyosababisha msongamano mkubwa wa magari.
 Maji yakiwa yamejaa eneo la mtawala baada ya mvua kubwa kunyesha jioni hii mkoani morogoro
 Mafuriko hayo yaliingia katika makazi ya watu na hapa ni mashine za kukoboa mpunga wakiwa wamesimamisha kazi zao baada ya maji kuingia ndani.





Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU