Facebook Comments Box

Tuesday, August 28, 2012

VURUGU KATI YA POLISI NA CHADEMA IRINGA

Kumetokea vurugu leo wakati wa jioni katika mji wa Iringa mjini kati ya Polisi na wafuasi wa  Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Vurugu hizi zilitokea mitaa ya Miyomboni
Wananchi wakishuhudia kwa mbali vurugu kati ya wanaodaiwa wafuasi wa CHADEMA na Polisi eneo la Iringa Miyomboni


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU