Facebook Comments Box

Thursday, August 30, 2012

MBUYU TWITE ATUA DAR

Mbuyu Twite akiongozwa na viongozi wa Yanga kuelekea kwenye gari
Hawa ni washabiki wa Yanga waliofika kumpokea Mbuyu Twite


Mbuyu Twite akiwa amevaa Jezi namba 4 Iliyoandikwa Rage akihojiwa na waandishi wa habari

Mmoja wa washabiki wa Yanga akiwa na jezi namba 4 iliyo andikwa Rage
Wakati huo huo kocha wa Yanga Tom amefanya kikao na waandishi wa habari na kukanusha habari iliyo andikwa katika website ya super sports kuwa hafurahii mazingira ya kazi nani ya ya klabu hiyo ya Yanga.
Amesema anavutiwa na mazingira yake ya kazi na ushirikiano anaopata kwa viongozi wa mabingwa hao wa klabu bingwa Afrika mashariki na kati.

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU