Facebook Comments Box

Thursday, August 30, 2012

HAWA NGURUME AFARIKI DUNIA

Marehemu Hawa Ngurume akitoa maelezo ya ugonjwa wake kwa mwandishi wa habari

Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbalali, Bagamoyo na Kinondoni na Mkoani Iringa Hawa Ngurume. Amefariki leo Asubuhi. Mama huyo alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa figo.
Ugonjwa huo ulimsumbua kwa muda ambapo ilifanya atibiwe katika Hospitali mbalimbali ikiwemo Hospitali ya Taifa Muhimbili na Hospitali nyingi za binafsi.
Marehemu atakumbukwa kwa uchapa kazi na uongozi wake mzuri na usikivu na uunganishaji wa wananchi na uhamasishaji wa maendeleo.
Sote ni wa Mungu na kwake tutarejea.

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU