Facebook Comments Box

Monday, August 27, 2012

KITONGONI MNAIKUMBUKA BLACK FIGHTER FOOTBALL CLUB?

Mmoja wa wadau wa kitongoni blog Ramadhan Sendah kulia akiwa na wachezaji wa zamani wa Black Fighter Football Club katikati ni Mbayo Masoud ambaye alikuwa ni kiungo wa timu ya Black Fighter FC na Kapteni Mabo akijulikana enzi hizo kama Umeme. Wakati Mbayo alikuwa kiungo wa chini dimba la juu lilikuwa likishikwa na Kapteni Mabo (Umeme)
Mbayo Masoud watu hawana historia ya kumuona akikosa penati. Kila ikipatikana penati akishika mpira uwanja mzima wananyanyuka kushangilia goli kabla hajapiga.
Wadau mnawakumbuka hawa?

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU