Facebook Comments Box

Monday, August 27, 2012

JEZI ZA YANGA ZAGOMBEWA RWANDA

Picha mbalimbali zikionesha wananchi wa Rwanda wakigombea jezi za Young Africans sports Club (Yanga). Yanga ndio mabigwa wa kombe la Africa mashariki na kati linalosimamiwa na CECAFA maarufu kwa jina la Kagame.








Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU