Facebook Comments Box

Tuesday, December 23, 2014

KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI ASIMAMISHWA KAZI

Kutokana na hotuba ya Mh Rais Prof Jakaya Mrisho Kikwete kutaka uchunguzi ufanyike ili ajiridhishe kuhusu sakata la Escrow katibu mkuu kiongozi amemsimamisha katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini ili uchunguzi ufanyike.

Chini ni tangazo lililoelezea kuzimamishwa kazi kwa katibu mkuu huyo.





Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU