Facebook Comments Box

Saturday, November 29, 2014

HELKOPTA YA MALI ASILI YAANGUKA UKONGA MOMBASA

Wananchi wakiangalia helkopta hiyo
Helicopter mali ya serikali wizara ya mali asili yaanguka maeneo ya moshi bar mombasa Dar na kuua wote walio kuwemo na kuangukia nyumba za wananchi.

Polisi wameshafika eneo la tukio
Wananchi wenye nyumba hizo bado haijajulikana kama wamekufa ama hawakuwemo. Rubani na capt wa ndege hiyo inasemekana walikuwa na uzoefu mdogo sana(masaa machache sana) kutoka chuo cha 44 cha huko south African.





Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU