Facebook Comments Box

Friday, August 23, 2013

PICHA: UAPISHWAJI WA RAIS MUGABE WA ZIMBABWE

Rais, Robert Gabriel Mugabe,  jana kwa mara ya saba katika historia ya nchi hiyo, alikula kiapo cha kuongoza Zimbabwe kwa nusu muongo ujao.

Shughuli za kuapishwa zilifanyika kwenye Uwanja wa Taifa wa Michezo wa Harare, Agosti 22, 2013 na kuhudhuriwa na wawakilishi wa mataifa mbalimbali kutoka barani Afrika.

Zifuatazo ni baadhi tu ya picha kutoka IKULU ya Tanzania, za kumbukumbu ya tukio hilo.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU