Facebook Comments Box

Saturday, July 20, 2013

MKUTANO MKUU WA SIMBA WAFANYIKA KWA UTULIVU NA AMANI HUKU RAGE AKIZINDUA MKAKATI MPYA WA MAENDELEO WA SIMBA

Mkutano mkuu wa klabu ya Simba umefanyika leo kwenye Bwalo la Polisi, Osteybay Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo ulihudhuriwa na wanachama wapatao mia saba ulifanyika kwa saa moja kuanzia saa nne mpaka saa tano kamili asubuhi. Mkutano huo ulizungumzia mambo mengi ikiwemo Taarifa ya matumizi ya fedha za klabu, Suala la ujenzi wa uwanja wa Simba pamoja na kuzinduliwa kwa mkakati mpya wa maendeleo ya Simba.
Ibrahim Masoud Maestro na Mwenyekiti wa kamati ya usajili Zakaria Hans Pope

Mwenyekiti aliyepita wa Simba Hassan Dalali alikuwa mmoja wa walio hudhuria.

Wanachama


Katibu Mkuu wa Simba Mtawala












Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU