Facebook Comments Box

Sunday, August 18, 2013

RAISI WA MALAWI JOYCE BANDA ACHAGULIWA KUWA MWENYEKITI MPYA WA SADC


Raisi Jakaya Mrisho Kikwete
Mh. Bernard K. Membe (MB), Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa akimkaribisha Raisi wa Afrika Kusini Mh. Jacob Zuma.
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh, Jakaya Mrisho Kikwete, akiteta jambo na katibu Mkuu mtendaji aliyemaliza muda wake Dr. Tomaz Augusto Salomão . 
Watendaji wengine waliohudhuria
Mh. Balozi Adadi Rajab (kushoto), Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Mh. Balozi Patrick Tsere (anaefuatia kushoto), Balozi wa Tanzania nchini Malawi na Dr. Laurean Ndumbaro, Mshauri wa Raisi Kikwete katika siasa.
Dr. Stergomena L. Tax, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Katibu Mtendaji mpya wa SADC. 



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU