Facebook Comments Box

Sunday, August 25, 2013

AJALI YA GARI LA MAFUGA ENEO LA RIVER SIDE DAR ES SALAAM JIONI HII

Gari la mafuta limepata ajali na kuingia mtaroni maeneo ya River Side Dar es Salaam jioni hii.
Hamna mtu yoyote aliepoteza maisha zaidi ya majeraha madogo kwa dereva wa gari hilo. Gari lilikuwa halina mafuta.
Mashuhuda wa ajali hiyo wanasema hij inatokana na mwendo kasi wa dereva wa gari hilo.
Chini ni picha za ajali hiyo



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU