Facebook Comments Box

Sunday, September 16, 2012

CLOUDS MEDIA NA WASANII WA BONGO FLEVA NA BONGO MOVIES WATOA MSAADA DODOMA

Picha ya pamoja ya uongozi wa Clouds Media na Wasanii wa Bongo Fleva na Wasanii wa Bongo movies wakiwa pamoja na Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mjini na watoto wa kituo cha The Village of Hope pamoja na walezi wao cha Mkoa wa Dodoma
Msanii Diamond akiwasalimia watoto wa kituo hicho pamoja na kuwaimbisha nyimbo zake
Father Vicent Boselli akitoa maelezo ya kituo hicho kwa wasanii na viongozi wa Clouds Media


Baadhi ya walezi wakiwa wamebeba watoto wa kituo hicho

Anti Ezekiel akijitambulisha huku akiwa amembeba mmoja ya watoto wanaolelewa na kituo hicho

Wasanii Juma Nature na Shettah wakisalimia watoto wa kituo hicho

Hapa wakikabidhi misaada mbalimbali


Baadhi ya wanafunzi wa kujitolea kutoka maeneo mbalimbali duniani wakiwa katika picha ya pamoja na watoto wa kituo hicho

Misaada akiingizwa ndani



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU